TANGAZO

TANGAZO

PICHA: KUTOKA MKUTANO WA NISHATI WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA 2025


Matukio Kutoka Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere (JNICC) ambapo Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika 2025 (Mission 300) unaendelea, mkutano huo unalenga kuwapelekea umeme waafrika milioni 300 katika nchi za Afrika.






Kama una Taarifa,Picha, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kwa simu +255 766 166 125 au Email : emmymwaipopo@gmail.com