Matukio Kutoka Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere (JNICC) ambapo Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika 2025 (Mission 300) unaendelea, mkutano huo unalenga kuwapelekea umeme waafrika milioni 300 katika nchi za Afrika.
Matukio Kutoka Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere (JNICC) ambapo Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika 2025 (Mission 300) unaendelea, mkutano huo unalenga kuwapelekea umeme waafrika milioni 300 katika nchi za Afrika.