Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, amekutana na kufanya mazungumzo na Viongozi wa Benk ya NMB wakiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu Bi. Ruth Zaipuna, Mazungumzo hayo yamefanyika Jijini Dodoma.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, amekutana na kufanya mazungumzo na Viongozi wa Benk ya NMB wakiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu Bi. Ruth Zaipuna, Mazungumzo hayo yamefanyika Jijini Dodoma.