Leo tarehe 18/2/2025 Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Stephen M. Wasira amefanya mazungumzo na Mhe.Eunju Ahn, Balozi wa Jamhuri wa Korea Nchini, katika
Ofisi ndogo ya makao makuu ya CCM Lumumba, Dar es Salaam.Katika mazungumzo hayo, viongozi hao wamebadilishanamawazo katika namna mbalimbali yanayohusu ushirikiano wa nchi ya Tanzania na Korea.
mawazo katika namna mbalimbaanayohshirikiwa nchi yTanzania na Korea.