TANGAZO

TANGAZO

PICHA: WAZIRI KOMBO AWASILISHA UJUMBE MAALUMU JAMHURI YA ANGOLA

 


Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki amewasili jijini Luanda nchini Angola 🇦🇴 kuwasilisha Ujumbe maalum wa Mhe. Dkt. Samia Suluh Hassan , wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 🇹🇿 kwa Mhe. João Manuel Gonçalves Lourenço, Rais wa Jamhuri ya Angola.












Kama una Taarifa,Picha, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kwa simu +255 766 166 125 au Email : emmymwaipopo@gmail.com