Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Machi 31, 2025 ameshiriki swala ya Eid, iliyofanyika kiwilaya katika Kata ya Ruangwa Mtaa wa Maghalani Wilayani Ruangwa.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Machi 31, 2025 ameshiriki swala ya Eid, iliyofanyika kiwilaya katika Kata ya Ruangwa Mtaa wa Maghalani Wilayani Ruangwa.