TANGAZO

TANGAZO

RAIS DKT. SAMIA AFUTURISHA MAKUNDI MBALIMBALI WILAYA YA CHAKE CHAKE ZANZIBAR


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefuturisha Viongozi wa Siasa, Serikali, Dini na Makundi Maalum Wilaya ya Chake chake mkoa wa Kusini Pemba, Zanzibar.











Kama una Taarifa,Picha, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kwa simu +255 766 166 125 au Email : emmymwaipopo@gmail.com