TANGAZO

TANGAZO

PICHA: UVCCM MTWARA YAANZA KWA KISHINDO KAMPENI YA AMKA TWENDE NA SAMIA 2025


Umoja wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mtwara yaanza kwa kishindo kampeni ya AMKA TWENDE NA SAMIA 2025 inayoongozwa na Kamati ya Utekelezaji Chini ya Ndugu. Abuu Athumani Yusuphu Mwenyekiti wa Uvccm Mkoa wa huo.