TANGAZO

TANGAZO

RAIS SAMIA AHITIMISHA ZIARA YA KISERIKALI NCHINI ANGOLA

 



Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ahitimisha Ziara yake ya Kiserikali nchini Angola kwa kutembelea Kiwanda cha Mafuta cha Luanda Oil Refinery nchini humo.











Kama una Taarifa,Picha, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kwa simu +255 766 166 125 au Email : emmymwaipopo@gmail.com