TANGAZO

TANGAZO

PICHA: WAZIRI LUKUVI AKIWA NA VIONGOZI MBALIMBALI KATIKA KUSHIRIKI IBADA YA KUAGA MWILI WA MZEE MSUYA

 


Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Wiliam Lukuvi pamoja na viongozi mbalimbali katika maandalizi ya kushiriki ibada ya kumuombea na kuaga Mwili wa aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Cleopa David Msuya, leo Mei 13, 2025. 


Ibada hiyo itafanyika katika Kanisa la KKKT Kristo Mchungaji Mwema; Dayosisi ya Mwanga, Jimbo la Kaskazini, Usharika wa Usangi Kivindu, Usangi, Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro.











Kama una Taarifa,Picha, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kwa simu +255 766 166 125 au Email : emmymwaipopo@gmail.com