Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekea Dodoma kwa kutumia Treni ya SGR kushiriki zoezi la kuboresha taarifa katika Daftari ya kudumu la Mpiga kura.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekea Dodoma kwa kutumia Treni ya SGR kushiriki zoezi la kuboresha taarifa katika Daftari ya kudumu la Mpiga kura.