Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 25,2025 ametembelea ubalozi wa Tanzania, Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) uliopo Abudhabi.
Alipokelewa na Balozi wa Tanzania UAE Luteni Jenerali Mstaafu,Yacub Mohmed na watumishi wa ubalozi huo.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 25,2025 ametembelea ubalozi wa Tanzania, Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) uliopo Abudhabi.
Alipokelewa na Balozi wa Tanzania UAE Luteni Jenerali Mstaafu,Yacub Mohmed na watumishi wa ubalozi huo.