TANGAZO

TANGAZO

KAMISHNA MSTAAFU WA POLISI AJIUNGA NA ACT WAZALENDO

 


Leo Agosti 05, 2025 Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Mstaafu, Ndugu Jamal Rwambow amejiunga na Chama cha ACT Wazalendo na kupokelewa na Kiongozi wa Chama, Ndugu Dorothy Semu kwenye kikao cha Kamati Kuu ya Chama kilichofanyika katika Ukumbi wa Hakainde Hichilema uliopo Makao Makuu ya ACT Wazalendo, Dar es salaam.



Kama una Taarifa,Picha, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kwa simu +255 766 166 125 au Email : emmymwaipopo@gmail.com