TANGAZO

TANGAZO

LUHAGA MPINA ATIMKIA ACT - WAZALENDO

 

Aliyekuwa Mbunge wa Kisesa Mkoani Simiyu, Luhaga Mpina ameondoka Chama cha Mapinduzi (CCM)na Kutimkia ACT - WAZALENDO leo Agosti 5, 2025 huko Vuga Visiwani Zanzibar, Mpina amepokelewa na Viongozi Wakubwa wa Chama hicho aliwemo Dorothy Semu, Zitto Kabwe na Ado Shaibu.











Kama una Taarifa,Picha, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kwa simu +255 766 166 125 au Email : emmymwaipopo@gmail.com