TANGAZO

TANGAZO

CHONGOLO ASHIRIKI KUPIGA KURA ZA MAONI MAKAMBAKO


Mtia nia wa Ubunge wa Chama Cha Mapinduzi, Ndugu Daniel Godfrey Chongolo akishiriki kupiga kura za maoni uchaguzi wa ndani wa chama hicho,leo Jumatatu,Agosti 4,2025 katika kata ya Mlowa, jimbo la Makambako mkoani Njombe. 

Ndugu Chongolo anachuana na aliyewahi kuwa Mbunge wa jimbo hilo Ndugu Deo Kasenyanda Sanga.








Kama una Taarifa,Picha, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kwa simu +255 766 166 125 au Email : emmymwaipopo@gmail.com