TANGAZO

TANGAZO

WAZIRI MKUU AWASILI VIWANJA VYA SEKONDARI USHIROMBO KUSHEREHEKEA SIKU YA MWALIMU BUKOMBE


Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa tayari amewasili kwenye viwanja vya shule yaa sekondari Ushirombo kusherehekea siku ya Mwalimu- Bukombe.
Kassim Majaliwa ambaye ni mgeni rasmi katika siku ya mwalimu - Bukombe amewasili katika viwanja hivi akiambatana na mgombea Ubunge jimbo la Bukombe, Dkt. Doto Mashaka Biteko.

Huu unakuwa msimu wa sita wa Maadhimisho ya siku ya mwalimu - Bukombe tangu yalipoanzishwa rasmi.








Kama una Taarifa,Picha, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kwa simu +255 766 166 125 au Email : emmymwaipopo@gmail.com