TANGAZO

TANGAZO

PICHA: SLAA AREJEA CHADEMA

 


Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama na Mgombea Urais kupitia Chadema Dr. Wilbroad Slaa amerejea Chadema na kupokelewa na Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. @TunduALissu katika uwanja wa Ruanda Nzovwe, Mbeya Leo tarehe 23 Machi 2025, Awaomba radhi wana Chama wa Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)






Kama una Taarifa,Picha, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kwa simu +255 766 166 125 au Email : emmymwaipopo@gmail.com