TANGAZO

TANGAZO

PICHA: WAZIRI MKUU MGENI RASMI KONGAMANO LA SIKU YA WANAWAKE, KANDA YA KUSINI


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Machi 06, 2025 ni mgeni rasmi katika Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Kanda ya Kusini, yanayofanyika katika viwanja vya Maegesho, Nachingwea mkoani Lindi.


Kaulimbiu ya kongamano hilo kwenye Kanda ya Kusini ni: Ushiriki na Mchango wa Wanawake katika Kukuza Maadili, Uzalishaji na Kuongeza Mnyororo wa Thamani ya Mazao.





Kama una Taarifa,Picha, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kwa simu +255 766 166 125 au Email : emmymwaipopo@gmail.com