TANGAZO

TANGAZO

PICHA: WAZIRI MKUU AKUTANA NA MABALOZI WA TANZANIA NCHI ZA ZIMBABWE NA RWANDA


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Machi 28, 2025 amefanya mazungumzo na Balozi wa Tanzania nchini Rwanda Habib Galus Kambanga (kushoto) na Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe Dkt. Suzan Kaganda (kulia), kwenye Ofisi ndogo  ya Waziri Mkuu Magogoni jijini Dar es Salaam.





Kama una Taarifa,Picha, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kwa simu +255 766 166 125 au Email : emmymwaipopo@gmail.com