Aliyekuwa Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Wilaya ya Nyasa, Ndugu Jacob Benworth Kunani Leo Aprili 25, 2025 amejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Hafla fupi ya kumpokea iliyofanyika katika Ofisi za Umoja wa Vijana UV-CCM Wilaya ya Nyasa.
.
Ameongeza kuwa amejikuta ametoka kifungoni na sasa yuko huru, hata hivyo ameahidi kuwa atashirikiana vema na wanachama wa CCM.
Mgeni Rasmi katika Hafla hiyo ni Komred Clavian Matembo mwenyekiti wa Umoja waVijana UV-CCM Wilaya ya Nyasa amempokea na kumkaribisha CCM na kumtaka awe mwanachama mwaminifu na kumsajili katika Mfumo wa Teknolojia ya Habari na mawasiliano ili mawze kupata kadi ya CCM pamoja na kumpa Tisheti ya Chama Cha Mapinduzi.


