TANGAZO

TANGAZO

PICHA: MAKAMU WA RAIS AZUNGUMZA NA MWANZILISHI WA TAMASHA LA UTALII WA VYAKULA ZIMBABWE


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza na Mwanzilishi wa Tamasha la Utalii wa Vyakula Zimbabwe ambaye ni Mwenza wa Rais wa Zimbabwe Dkt. Auxilia Mnangagwa kando ya Mkutano wa wa Pili wa Umoja wa Mataifa wa Utalii wa Vyakula Barani Afrika unaofanyika Ukumbi wa Gran Melia Jijini Arusha. Tarehe 23 Aprili 2025.




Kama una Taarifa,Picha, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kwa simu +255 766 166 125 au Email : emmymwaipopo@gmail.com