TANGAZO

TANGAZO

PICHA: 𝐁𝐀𝐋𝐎𝐙𝐈 𝐃𝐊𝐓. 𝐍𝐂𝐇𝐈𝐌𝐁𝐈 𝐀𝐒𝐇𝐈𝐑𝐈𝐊𝐈 𝐌𝐊𝐔𝐓𝐀𝐍𝐎 𝐌𝐀𝐀𝐋𝐔𝐌 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐊𝐖𝐀𝐀 𝐋𝐀 𝐖𝐀𝐇𝐀𝐑𝐈𝐑𝐈 𝐓𝐀𝐍𝐙𝐀𝐍𝐈𝐀 (𝐓𝐄𝐅)


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi alipokuwa akiwasili katika Ukumbi wa Parokia ya Familia Takatifu Bombambili, Jimbo kuu Katoliki kwa ajili ya  kufungua mkutano Mkuu Maalum wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), unaofanyika Songea mkoani Ruvuma.


Mkutano huo unafanyika leo April 04, 2025, umebeba Ajenda ya Uchaguzi wa ndani ya TEF kwa Nafasi ya Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti pamoja na Wajumbe 7 wa Kamati ya Utendaji. 













Kama una Taarifa,Picha, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kwa simu +255 766 166 125 au Email : emmymwaipopo@gmail.com