TANGAZO

TANGAZO

ALIYEANDIKA KITABU CHA HAYATI MAGUFULI, MATHIAS KABADI ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO JIPYA LA CHATO KUSINI



Aliyeandika Kitabu cha wasifu wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli (2020), Ndugu Mathias Kabadi achukua na kurudisha fomu kuwania Ubunge jimbo jipya la Chato Kusini.





Kama una Taarifa,Picha, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kwa simu +255 766 166 125 au Email : emmymwaipopo@gmail.com