TANGAZO

TANGAZO

MHA. MASAUNI ACHUKUA NA KUREJESHA FOMU YA KUOMBA RIDHAA JIMBO LA KIKWAJUNI ZANZIBAR

 


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amechukua na kurejesha fomu ya kuomba ridhaa ya kutetea Ubunge katika Jimbo Kikwajuni, Zanzibar kwa mara nyingine.

Mhe. Masauni amechukua na kuirejesha fomu hiyo Juni 30, 2025 kwa Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mjini, Zanzibar Bw. Bilal Hussein Maulid.

Kama una Taarifa,Picha, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kwa simu +255 766 166 125 au Email : emmymwaipopo@gmail.com