Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Mkoani Dodoma kufungua Mkutano wa Mwaka wa Waganga Wakuu wa Mikoa na Halmashauri leo tarehe 12 Julai 2025.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Mkoani Dodoma kufungua Mkutano wa Mwaka wa Waganga Wakuu wa Mikoa na Halmashauri leo tarehe 12 Julai 2025.