TANGAZO

TANGAZO

PICHA: VIONGOZI MBALIMBALI WAKIWASILI KATIKA UWANJA WA MASHUJAA MTUMBA DODOMA KUMBUKIZI YA MAADHIMISHO YA MASHUJAA

 



Viongozi mbalimbali wakiwasili katika Uwanja wa Mashujaa Mtumba Dodoma kushiriki Maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa, Ambapo Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anategemewa kuwa Mgeni Rasmi.


















Maadhimisho hayo hufanyika Julai 25 ya kila mwaka.


Kama una Taarifa,Picha, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kwa simu +255 766 166 125 au Email : emmymwaipopo@gmail.com