TANGAZO

TANGAZO

NDEGE ZA ATCL ZAONGEZEKA KWA ASILIMIA 100


Chini ya Rais Samia, idadiya ndege za ATCLimeongezeka kutoka 8 mwaka 2020 hadi 16 mwaka 2025, huku Serikali ikitarajia kuongeza Ndege zaidi ifikapo mwaka 2030.

 Ongezeko hili linaonyesha uwekezaji katika usafiri wa anga na kuboresha huduma kwa abiria na mizigo. 

Kama una Taarifa,Picha, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kwa simu +255 766 166 125 au Email : emmymwaipopo@gmail.com