TANGAZO

TANGAZO

RAIS SAMIA AJENGA ZAHANATI 1,000 NA VITUO VYA AFYA 300



Chini ya Rais Samia, huduma za afya zimeimarishwa ambapo mwaka 2020 
kulikuwa na hospitali 98, vituo vya afya 433 na Zahanati 368. Kufikia mwaka2025, idadi imeongezeka hadi hospitali 150, vituo vya afya 733 na zahanati 1,368. 

Hii ni sawa na ongezeko la hospitali 52, vituo

vya afya 300 na zahanati1,000.

Vilevile, upatikanaji wa dawa na vifaa tiba

umeongezeka kutoka wastani wa asilimia 92 

mwaka 2020 hadi asilimia 95 mwaka 2025, 

tofauti ya alama 3 za asilimia.

Ongezeko hili limetokana na kuongezwa kwa bajeti ya sekta ya afya, maboresho ya Bohari ya Dawa na mkakati wa Serikali kuhakikisha huduma za afya zinapatikana karibu na wananchi.

Kama una Taarifa,Picha, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kwa simu +255 766 166 125 au Email : emmymwaipopo@gmail.com