TANGAZO

TANGAZO

SHULE ZENYE MADARASA YA AWALI TANZANIA ZAFIKIA 18,000

 




Chini ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, idadi ya wanafunzi wa shule za awali imeongezeka kutoka 1,278,886 hadi 1,558,549, ongezeko la 21.87%, huku shule zenye madarasa ya awali zikiongezeka kutoka 16,355 hadi 18,011. 

Ruzuku ya Elimu bila Ada imeongezeka kutoka Shilingi bilioni 249.66 hadi 484.27, ongezeko la 93.97%, Hii imerahisisha vijana wenye sifa kuendelea na masomo bila kizuizi cha kifedha. 

Aidha, uandikishaji wa wanafunzi wenye mahitaji maalum umeongezeka kutoka 28,482 hadi 78,429, ongezeko la 175%. 

Kama una Taarifa,Picha, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kwa simu +255 766 166 125 au Email : emmymwaipopo@gmail.com