TANGAZO

TANGAZO

SIMBU BINGWA WA MBIO ZA DUNIA AWASILI NCHINI



Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Bi. Neema Msitha, ameongoza mapokezi ya Mwanariadha Sajini Alphonce Simbu ambaye ni Bingwa wa mbio za Dunia kwa Wanaume na mshindi wa Medali ya Dhahabu, aliyewasili nchini alfajiri ya Septemba 23, 2025 akitokea Tokyo Japan alikoshiriki mbio hizo.




Mapokezi hayo pia yamehudhuriwa na baadhi ya Viongozi wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) pamoja na familia yake.








Kama una Taarifa,Picha, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kwa simu +255 766 166 125 au Email : emmymwaipopo@gmail.com