TANGAZO

TANGAZO

PICHA: UZINDUZI WA TAARIFA YA UTENDAJI WA MAMLAKA ZA MAJI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/24

 Haya ni Matukio Katika picha kwenye Uzinduzi wa Taarifa ya Utendaji wa Mamlaka za Maji kwa Mwaka wa Fedha 2023/24 iliyozinduliwa leo, Machi 19,2025 Katika Ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar Es salaam, Huku Mgeni rasmi akiwa Waziri wa Nishati na Naibu Waziri Mkuu, Dotto Biteko.