Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan asaini tamko la Toleo la Sheria zilizofanyiwa urekebu kwa mujibu wa kifungu cha 12 cha Sheria ya urekebu wa sheria, sura ya Nne, Chamwino Mkoani Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan asaini tamko la Toleo la Sheria zilizofanyiwa urekebu kwa mujibu wa kifungu cha 12 cha Sheria ya urekebu wa sheria, sura ya Nne, Chamwino Mkoani Dodoma.